Nasaha

“Chui hakumbatiwi.”

Martin

“Rasharasha ndio mwanzo wa mvua.” Ufanisi hupatikani siku moja. “

Kassim Kombe

” Wali wa kushibia huonekana siniani . “

Msheshe . R . Rashid

” Haijalishi kama wewe ndio mwindaji au awindwaye, lakini jua lituapo, afadhali ukimbilie usalama wako. “

Paul Nganga

” Hatujumuiki kwa sababu ya mbalamwezi. Kila mtu anaweza kuionea kwake. Ni kwa sababu ni vyema kwa jamaa kujumuika… “

Paul Nganga

” Upendo hujenga, chuki hubomoa.”

Kassim Kombe

“Mwenye kutenda jamala naye hulipwa jamala”

Martin

“Ota moto na aliyekusaidia kutafuta Kuni”

Martin