Mapenzi
Hiamka huangaza, kuliani na shimali Sikuoni mliwaza, ubavu wangu wa pili Ikiwa nilikukwaza, leo natubiya kweli Kwa…
Lipi lililokufunda, utake kuniridhia? Nilipolia na nyonda, matozi yakanishia Ulinita mwanakwenda, hutaki kunisikia Si wewe uloniponda, kama…
Si hasha tuvimbiane, kwa maneno ya kuuma, fojo zikatwelemea Ni wazi tuambiane, pendo halipo salama, kidete lachechemea…
Bado najikinga, yasikugharimu Usijeyazinga, ya kunilaumu Nitapojitenga, sijekunywa sumu Bado najifunga, zisije nadamu Sebu ya waganga,…
Ewe mfuma mipango, kwangu iso mipendezi Ulokithiri urongo, na sifa za kijambazi Nakufikisha ukingo, kwangu hutopiga mbizi…
Moyo unavuja damu, hubani kusalitiwa,Ama mi si mwanadamu, pendo nalazimishiwa?Kabisa meisha hamu, penzi nimedhulumiwa,Moyo umeshahiniwa, kupenda sikutamani….
Ndugu nawaulizeni, mnipe jibu mwananaNeno haneni mneni, hadi liwe na maanaManeno nielezeni, kwa marefu na mapanaPenzi ni…
Penzi ni dawa jamani, hutibu shida na dhikiPenzi ni lulu moyoni , tambua hili rafikiPenzi lako la…
