Wimapo paangalie, unaweza kuanguka,Ulimwengu uujue, dawama hubadilika,Kila kilele alie, na chini pia hushuka,Pavumapo palilie, si kazi kudamirika,Wa…
Kuna banati mzuri, aloumbwa kuumbika Ulimwengu mashuhuri, kila kona atajika Urembo na utajiri, kila Mtu amtaka Alonacho…
Mama sema na mwanao, kuhusu hii dunia Kwamba aona pumbao, na maraha maridhia Mwambie pindo utao, mshalewe…
Siku ya tua na twika, msi ozi akiona, Pachimbwa patachimbika, utafukuka na mwina Siri itabainika, bayana kama…
Wake wengine ni jaha, nuru shani ya Manani Wamejaliwa staha, na utu uso kifani Nyumba hutia furaha,…
Lipi lililokufunda, utake kuniridhia? Nilipolia na nyonda, matozi yakanishia Ulinita mwanakwenda, hutaki kunisikia Si wewe uloniponda, kama…
Tumbo nitakupa nini,utwae usikufuru Kwenye hii Ramadhani,wakati wa kufuturu Vizuri wavitamani,nikupavyo hushukuru Kwa nini huna shukuru!? Â …
Page 1 of 2
Next
