Zilipomoka zidaka, zikaacha nazi pevuMbumbumbu akaongoka, akapotoka mwelevuHaikunya ya masika, hari ikanya kwa nguvuMtoto kamea ndevu, kipya…
Wenye vyeo tazameni, mambo yamebadilikaMaisha ni hali duni, na uchumi unashukaNi nakisi kwa madeni, na bei zimefumkaHuyu…
Kwenye magwa yagwishayo, mbwagwa akaanguka,Mgwa magwa abwagwayo, akagwa kutoinuka,Gwisho la yake magwiyo, mgwa anapopomoka,Ukigwa mgwa nyanyuka, kugwa…
Katika ya makutano, kuna matuko na njeoNa mwia wa mapambano, vipambane hivi leoIwe kazi kwa mkono, kupepeta…
Previous
Page 2 of 2
