Lugha ni mali jamani, chombo kilicho muhimuLugha huleta amani, kwetu sisi wanadamuLugha tuipe thamani, ni funguo za…
Machozi yananitoka, kwa niliyosimuliwaYazidi nibubujika, ni vipi yatazuiwa? Yameniliza hakika, huzuni nimeingiwaKafanya hatia gani, huruma hukumwoneya? Habari…
Mazingira ni jumla ya mambo yote yanayomzunguka kiumbe katika maisha yake. Kwa hiyo kila unachokiona ni mazingira…
Magwiji na wenye ari , naja kwenu taratibuWatunzi na wahariri, wa maneno ya dhahabuWasomi wa mashairi, mnipatie…
Ajabu yenye ajabu, kwetu sisi waislamuAibu tena aibu, vipi tutajifahamuNi zipi hasa sababu? kila leo kulaumuDada muvae…
Lugha ni bidhaa katika soko la mawasiliano. Mawasiliano mazuri ni yenye lugha fasaha, sahihi na yenye mantiki…
Kuna mfalme aliuawa.Mwanawe, aliyerithi taji, alikula yamini kubaini chanzo cha vita viliv’oyaleta mauti yaliyomfarakanisha babake na kiti…
Niliibofya honi ya gari langu, baada ya dakika mbili hivi. Nikafunguliwa lango na bawabu wetu Bwana Maasai…
