Nimeketi na kuwaza, majibu nikayakosaKunyamaza sikuweza, kwa ‘livokithiri visaHivyo sauti napaza, nijibuni enyi insaWana ‘kikosa mwangaza, nani…
Maisha
Zilipomoka zidaka, zikaacha nazi pevuMbumbumbu akaongoka, akapotoka mwelevuHaikunya ya masika, hari ikanya kwa nguvuMtoto kamea ndevu, kipya…
Wenye vyeo tazameni, mambo yamebadilikaMaisha ni hali duni, na uchumi unashukaNi nakisi kwa madeni, na bei zimefumkaHuyu…
MwananguTaali keti kitako, maneno kukuambizaYakae kichwani mwako, vizuri nisikilizaIngawa mwa mboni zako, bado kuna kingi kizaTaali ewe…
Maishani nalemewa, uzazi kulazimiwa,Unyama nilitendewa, hadi mimba nikatiwa,Sasa ni muathiriwa, mwili nilishahiniwa,Kipi kwangu uliona, baba ukaninajisi? Siku…
Karibuni marafiki, watunzi na wahaririSote tuweze shiriki, kutunga tungo mahiriTuungane na shiwaki, fasihi tuikaririTuweze pia hakiki, hadithi…
Mwanangu njoo karibu, uketi unisikizeNifanye wangu wajibu, ya dunia nikueleze ‘Tayasema taratibu, ili nisikutatizeNa wala usinijibu, kwanza…
