Nimeketi na kuwaza, majibu nikayakosaKunyamaza sikuweza, kwa ‘livokithiri visaHivyo sauti napaza, nijibuni enyi insaWana ‘kikosa mwangaza, nani…
Mashairi
Moyo hupata tuliya, furaha tele moyoniKila ninaposikiya, na kukuona machoniUelewe hili piya , kinitazama usoniSubira nasubiriya, kujua…
Kupenda sana hatari, neno hili nawambiaPenzi ni kama bahari, mawimbi huyumba piaNawapa hii habari, mupate kufikiriaChunga usisidimie,…
Zilipomoka zidaka, zikaacha nazi pevuMbumbumbu akaongoka, akapotoka mwelevuHaikunya ya masika, hari ikanya kwa nguvuMtoto kamea ndevu, kipya…
Wenye vyeo tazameni, mambo yamebadilikaMaisha ni hali duni, na uchumi unashukaNi nakisi kwa madeni, na bei zimefumkaHuyu…
Kwenye magwa yagwishayo, mbwagwa akaanguka,Mgwa magwa abwagwayo, akagwa kutoinuka,Gwisho la yake magwiyo, mgwa anapopomoka,Ukigwa mgwa nyanyuka, kugwa…
Nihongwe mali muluki, ili kwako kubandukaSibanduki sibanduki, nimeganda muhibakaMwenginewe simtaki, hata angalinitakaNimeganda sitang’oka. Au mafedha malaki, na…
Katika ya makutano, kuna matuko na njeoNa mwia wa mapambano, vipambane hivi leoIwe kazi kwa mkono, kupepeta…
