MwananguTaali keti kitako, maneno kukuambizaYakae kichwani mwako, vizuri nisikilizaIngawa mwa mboni zako, bado kuna kingi kizaTaali ewe…
Mashairi
Yule niliyempenda, moyoni nikamuwekaAnanifanyia inda, leo amenigeukaKimoyo kinanidunda, mapigo yahisabikaMoyoni nina kidonda, kidonda kisotibika. Umesalitika moyo, moyo…
Lugha ni mali jamani, chombo kilicho muhimuLugha huleta amani, kwetu sisi wanadamuLugha tuipe thamani, ni funguo za…
Machozi yananitoka, kwa niliyosimuliwaYazidi nibubujika, ni vipi yatazuiwa? Yameniliza hakika, huzuni nimeingiwaKafanya hatia gani, huruma hukumwoneya? Habari…
Magwiji na wenye ari , naja kwenu taratibuWatunzi na wahariri, wa maneno ya dhahabuWasomi wa mashairi, mnipatie…
Ajabu yenye ajabu, kwetu sisi waislamuAibu tena aibu, vipi tutajifahamuNi zipi hasa sababu? kila leo kulaumuDada muvae…
Kwamba yataja futika, ni muhali kuaminiTulihamu Afrika, ya usawa na amaniEla yanayotufika, katu si ya kutamaniHayawi ya…
Maishani nalemewa, uzazi kulazimiwa,Unyama nilitendewa, hadi mimba nikatiwa,Sasa ni muathiriwa, mwili nilishahiniwa,Kipi kwangu uliona, baba ukaninajisi? Siku…
