Nihongwe mali muluki, ili kwako kubandukaSibanduki sibanduki, nimeganda muhibakaMwenginewe simtaki, hata angalinitakaNimeganda sitang’oka. Au mafedha malaki, na…
Katika ya makutano, kuna matuko na njeoNa mwia wa mapambano, vipambane hivi leoIwe kazi kwa mkono, kupepeta…
MwananguTaali keti kitako, maneno kukuambizaYakae kichwani mwako, vizuri nisikilizaIngawa mwa mboni zako, bado kuna kingi kizaTaali ewe…
Yule niliyempenda, moyoni nikamuwekaAnanifanyia inda, leo amenigeukaKimoyo kinanidunda, mapigo yahisabikaMoyoni nina kidonda, kidonda kisotibika. Umesalitika moyo, moyo…
Furaha iliyoje kwetu sisi wazungumzaji wa lugha wa Kiswahili! Umoja wa Afrika (AU) umeipitisha lugha ya Kiswahili…
